Muhtasari wa Yuda

I. Salamu 1-2

II. Sababu ya kuandika 3-4

III. Maelezo na maonyo kuhusu
walimu wa uongo, imani na matendo 5-16

IV. Mawaidha ya kuepuka makosa na kubaki
kweli kwa Kristo 17-23

V. Doksolojia: Utukufu kwa Mungu kupitia Yesu
Kristo 24-25