Muhtasari wa Habakuki I. Mazungumzo ya nabii na Bwana 1:1-2:20 A. Mzunguko wa kwanza 1:1-11 1. Swali la nabii 1:1-4 2. Jibu la Bwana 1:5-11 B. Mzunguko wa pili 1:12-2:20 1. Swali la nabii 1:12-17 2. Jibu la Bwana 2:1-20 II. Unyenyekevu wa nabii kwa Bwana 3:1-19 A. Maombi yake kwa Mungu 3:1-2 B. Sifa zake kwa Mungu 3:3-15 C. Imani yake kwa Mungu 3:16-19