Muhtasari wa Mwanzo I. Historia kuu (mwanzo wa mwanzo) 1:1-11:26 A. Kuumbwa kwa ulimwengu 1:1-2:3 B. Hadithi ya mwanadamu 2:4-11:26 1. Adamu na Hawa katika bustani 2:4-25 2. Adamu na Hawa na anguko 3:1-24 3. Kaini na Abeli, mauaji ya kwanza 4:1-26 4. Ukoo wa kumcha Mungu wa Sethi na mauti 5:1-32> 5. Nuhu na gharika 6:1-8:19 6. Matukio baada ya gharika 8:20-9:29 a. Sadaka na agano 8:20-9:19 b. Ulevi wa Nuhu na unabii wake 9:20-29 7. Kizazi cha Nuhu na Mnara ya Babeli 10:1-11:26 II. Historia ya baba 11:27-50:26 A. Kitabu cha imani (Chaguo la Ibrahimu) 11:27-25:18 1. Familia yake 11:27-32 2. Wito na kuhama kwake 12:1-20 3. Kujitenga kwake na Lutu 13:1-18 4. Ukombozi wake wa Lutu 14:1-24 5. Agano la Mungu na Ibrahimu 15:1-21 6. Kuzaliwa kwa Ishmaeli 16:1-16 7. Kutahiriwa kwa Ibrahimu 17:1-27 8. Kuharibiwa kwa Sodoma na Gomora 18:1-19:38 9. Ibrahimu na Abimeleki 20:1-18 10. Kuzaliwa kwa Isaka 21:1-34 11. Sadaka ya Isaka 22:1-24 12. Kifo na kuzikwa kwa Sara 23:1-20 13. Ndoa ya Isaka 24:1-67 14. Kifo cha Ibrahimu 25:1-11 15. Wazao wa Ishmaeli 25:12-18 B. Kitabu cha mapambano (Chaguo la Isaka na Yakobo) 25:19-36:43 1. Wana mapacha wa Isaka 25:19-34 2. Isaka anamdanganya Abimeleki 26:1-11 3. Bahati ya Isaka inayobadilika-badilika 26:12-22 4. Agano la Beer-sheba 26:23-33 5. Yakobo ananyakua baraka kwa udanganyifu 27:1-46 6. Yakobo anatumwa Mesopotamia 28:1-9 7. Ndoto na nadhiri ya Yakobo 28:10-22 8. Yakobo na binti za Labani 29:1-30 9. Watoto wa Yakobo 29:31-30:24 10. Yakobo anamshinda Labani 30:25-43 11. Kurudi kwa Yakobo Kanaani 31:1-21 12. Kufuatilia na kukabiliana na Labani 31:22-42 13. Agano la kuaga 31:43-55 14. Upatanisho wa Yakobo na Esau 32:1-33:20 15. Maisha ya mwisho ya Yakobo 34:1-36:43 a. Mauaji kwenye Shekemu 34:1-31 b. Kufanywa upya kwa agano katika Betheli 35:1-15 c. Vifo vya Raheli na Isaka 35:16-29 d. Wazao wa kaka yake Esau 36:1-43 C. Kitabu cha mwongozo (chaguo la Yuda, simulizi la Yusufu) 37:1-50:26 1. Yusufu aliuzwa utumwani 37:1-36 2. Yuda na Tamari 38:1-30 3. Yusufu chini ya majaribu katika nyumba ya Potifa 39:1-23 4. Yusufu anafasiri ndoto za mnyweshaji na mwokaji 40:1-23 5. Yusufu anafasiri ndoto ya Farao 41:1-57 6. Ndugu za Yusufu huko Misri 42:1-45:28 7. Familia ya Yusufu huko Misri 46:1-47:31 8. Baraka za wana wa Yusufu 48:1-22 9. Baraka za Yakobo kwa wanawe 49:1-27 10. Kifo na kuzikwa kwa Yakobo 49:28-50:14 11. Siku za mwisho za Yusufu S0:15-26