Muhtasari wa II Wathesalonike I. Salamu 1:1-2 II. Kutia moyo kibinafsi 1:3-12 A. Ushuhuda wa Wathesalonike 1:1-4 B. Kusudi la Mungu 1:5 C. Kuja kwa Bwana 1:6-10 D. Maombi ya Paulo 1:11-12 III. Marekebisho ya mafundisho ya Wathesalonike 2:1-17 A. Kuhusu kutoelewa kwao 2:1-2 B. Kuhusu ukengeufu 2:3a C. Kuhusu mtu wa dhambi 2:3b-5 D. Kuhusu kizuizi 2:6-9 E. Kuhusu wasioamini 2:10-12 F. Kuhusu waumini 2:13-17 IV. Mawaidha ya vitendo 3:1-15 A. Maombi ya Paulo 3:1-2 B. Kujiamini katika Bwana 3:2-5 C. Nidhamu ya wasiotii 3:6-15 V. Baraka 3:16-18