Muhtasari wa I Timotheo I. Dibaji 1:1-2 II. Kanisa la Mungu 1:3-3:16 A. Mafundisho yake 1:3-20 B. Ibada yake 2:1-15 C. Uongozi wake 3:1-16 III. Huduma ya mchungaji 4:1-6:19 A. Kutembea kwake 4:1-16 B. Kazi yake 5:1-6:19 IV. Maneno ya mwisho 6:20-21